VILIVYOMO KATIKA APP HII.
2. BMI Kalkuleta: Sehemu hii itakusaidia kujua kipimo sahihi cha ulingano kati ya uzito na urefu wa mwili wako. Utaingiza uzito wako na urefu kisha utapata kujua kama mwili wako uko fiti au hapana. Kulingana na shirika la afya la National Institutes of Health (NIH); uzito uliozidi ni kati ya BMI 27.3 au zaid kwa wanawake na 27.8 au zaidi kwa wanaume. BMI 30 au zaidi ni uzito uliokithiri.
3. SETTINGS: Hapa utaweza kuseti kiwango cha mazoezi unachotaka kufanya, kama vile idadi ya push-up n.k. App itakupa machaguo (rahisi, kiwango kati, na ngumu). Pia unaweza weka sauti au kuzima wakati wa kutumia app hii.
4. MUONEKANO: Huu ni mfano wa jinsi utaongozwa katika kufanya mazoezi. Utaona picha pamoja na bar-mzunguko ya kukuonesha kiwango cha ufanyaji kama inavyooneka hapa chini.
Kwa hayo machache tunawaomba mkae nasi na endeleeni kutembelea blogi hii ili kujua mengi. Kupakua app hii bonyeza hapa 7 min Training App (Mazoezini)
0 Comments
Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa