JINSI YA KUTUMIA DATA YA LAPTOP KWENDA KATIKA SIMU

As salaam aleikum kuna kipindi tuliongelea jinsi ya kutumia hotspot ya simu kwenda katika pc sasa leo tuangalie kutoka katika pc,laptop kwa wireless 

Kuna program fulani inaitwa Baidu Pc Faster (inahusika na optimization ya pc) download hapa


, then install kwenye pc yako..baada ya hapo ifungue, then uende kwenye Wi-Fi hotspot ambayo imechorwa ile alama ya Wi-Fi...fanya set up, yaani ipe jina na password..then save...


soma >>>jinsi ya kutumia modem kama hotspot

Baada ya hapo connect modem yako yenye line uliyojiunga kifurushi cha net, ikishasoma rudi kule kwenye hiyo program ya Baidu pc faster fanya kuenable/kuweka On hiyo wireless yako....Then serereka kwenye simu/tablet au pc yako...!

0 Comments

Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa