baadhi ya madereva wakilalamika sana kuhusu kulipa fine barabarani kwa kuzidisha mwendo.
Kufuata sheria za barabarani ni jambo la kwanza, ila kuna matrafic wengine wanakera kweli kweli.
Download hii app hapa chini kwenye simu yako, itakujulisha uwepo wa
speed kamera nusu kilometa kabla hujaifikia. Utaepuka fine kirahisi.
Speed Cameras & Traffic Sygic - Android Apps on Google Play
Jinsi ya kuepuka fine za overspeed na speed camera barabarani
Riyadi
January 08, 2017
0
Comments
Related Article
0 Comments
Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa