Watu wengi wamekuwa wakitumia torrent clients ( kama u-torrent, bittorrent, vuze etc) kwa ajili ya kupakua movies na apps zenye file kubwa kutoka kwenye torrents sites mbalimbali lakini huwa kunakua na changamoto ya speed kuwa ndogo unapokua unapakua file hasa lenye seeders wachache ....ili kuepukana na changamoto hyo leo ntakujuza njia ya kupakua files kwa kasi zaidi;
1. kwanza kabisa unatakiwa uwe na internet download manager (IDM) kama hauna download hapa bure kabisa DOWNLOAD
2. Link internet download manager na browser unayotumia mimi huwa natumia chrome unaweza kupakua chrome browser hapa DOWNLOAD
3.Unatakiwa ufungue account kwenye website inayoitwa www.seedr.cc ambako utapewa disk kama 2gb ( ila inaweza kufikia 5GB ukifanya sharing na rafiki zako kupitia referral code yako)
4.Ukishafungua hiyo account utakwenda kwenye torrent site unayopendelea either rarbg.to , katcr.co , limetorrent.cc 13377x.to etc
5 . Copy magnet link ya file kama unavyoona katika picha hapo juu unalotaka kudownload na paste kwenye seedr.cc
account kuna sehemu imeandikwa paste, kisha bofya kitufe cha jumlisha
na file lako litaundwa na utaona mshale wa kupakua ukiweka mouse yako katika folder lililoundwa angalia picha hapa chini
na utaweza download kwa kasi nzuri sana ambayo ni tofauti kabisa kama ungetumia utorent
asante kwa kusoma makala hii sambaza upendo kwa washkaji kwa kushare makala hii karibu tena
0 Comments
Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa