Jinsi ya kufanya computer yako iwe na speed unapoitumia

Zipo sababu nyingi zinazoweza kupelekea computer kuwa slow Chache kati ya nyingi ni.

1. Udogo wa RAM

2. Udogo wa Processor

3. Ku-run program nying kwa pamoja

4. Ku-install program nyingi kwenye PC

5. Temporary files

JINSI YA KUTATUA TATIZO HILO.

1. Bonyeza windows button+R (kwa pamoja) then andika
%temp% then bonyeza ENTER. Yatakuja mafile na mafolder mengi bonyeza
CTRL+A then Bonyeza delete (del)

2. Bonyeza windows button+R (kwa pamoja) then andika temp
then bonyeza ENTER. Yatakuja mafile na mafolder mengi bonyeza CTRL+A then Bonyeza delete (del)

3. Nenda kweny my computer then local disk C then right click then chagua properties, then disk cleanup then iache icalculate kitafunguka ki-page kidogo weka tick upande wa kushoto then bonyeza ok. Itakuuliza are you sure you want to delete? Click yes then iache icalculate mpaka imalize then
funga.

4. Nenda kweny my computer then properties then advanced setting then advanced then setting (ya kwanza) then Advanced then change then utaona tick hapo kwenye automatically.

Toa hiyo tick then shuka chini kwenye custom then kwenye initial weka ukubwa wa ram yako mfano RAM yako ni 2 GB ichukue hiyo zidisha na 1024. (Hii inamaana GB1 ni MB1024) jibu utakalopata jaza hapo.

Then kwenye maximum chukua jibu ulilopatahapo juu lizidishe mara 2 then jaza hapo.(hapa unachokifanya ni kuifanya RAM yako itumike yote) Then bonyeza SET Then bonyeza apply then ok.

Itakuomba kurestat. Accept then bonyeza ok itazima itawaka tena kama hujui jinsi ya kuipata RAM yako nenda kwenye my computer then properties then angalia sehem wameandika

RANDOM ACCESS MEMORY(RAM) utaweza kuiona]
5. Epuka kujaza program nyingi ambazo huzitumii. Unistall
program ambazo hazina kazi.

0 Comments

Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa