Mambo ambayo ningemwambia mdogo wangu:

 Mambo ambayo ningemwambia mdogo wangu:



unapata katika maisha kile ambacho una ujasiri wa kuomba/kukipambania.

ni bora kujaribu kitu kuliko kutofanya chochote.

chukua fursa unazopata, hautazipata kila wakati.

 ukishindwa, jaribu tena, una majaribio yasiyo na kikomo.

unakuwa watu/mtu unaojizungusha nao, acha kujumuika na watu ambao hutaki kuwa.

 kama huwezi kuidhibiti, ikumbatie

acha kusubiri muda muafaka, wakati muafaka ni pale unapoanza.

0 Comments

Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa