HATUA 7 RAHISI ZA KUONGEZA KASI YA INTERNET YAKO KATIKA COMPUTER YAKO BILA KUTUMIA SOFTWARE YEYOTE

As salaam aleikum Mswahili mwenzangu kama kawaida yetu leo Jifunze hatua saba rahisi kabisa za kuongeza speed ya internet maradufu kwenye kompyuta yako. Mara tu baada ya kumaliza utaona mabadiliko makubwa kwani speed ya Interneet itakuwa kubwa zaidi na kukuwezesha kufanya kazi kwa raha zaidi.


  • Hatua ya kwanza bonyeza  kitufe cha start alafu utaandika kama inavyoonekana hivi  gpedit.msc
  • sasa bonyeza marambili sehemu iliyo andikwa  Computer configuration


  • Bonyeza tena mara mbili Administrative Templet
  • Bonyeza Tena mara mbili Network   
  • Bonyeza tena marambili QoS Packet Schedule
  • Bonyeza mara mbili tena Limit reservable bandwith
  • kwanye Namba 1 chagua Enable na kwenye Namba 2 weka namba 0 malizia na kwanye namba tatu kwa kuchagua Apply alafu OK

Hadi hapo utakuwa umemaliza unaweza anza furahia Internet yenye kasi ya ajabu. Karibu sana SwahiliTech kwa habari na msaada wa kitaalamu.

0 Comments

Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa