MAMBO USIYOYAJUA KUHUSU SEEBAIT

As salaam aleikum ndugu zangu kutokana na maswali mengi ya wasomaji wangu kuhusu mtandao wa seebait kwanini wamejiunga na wanawatembeleaji wengi kwa siku na bado akaunti zao zinasoma U$D 0.00 sawa leo nitakujuza kwanini akaunti yako ya seebait haisomi pesa, kwanza tuwalaumu kidogo seebait kwa kuwa hawajatuambia moja kwa moja kuwa vipi makubaliano yetyu na yao jinsi ya kuweza kufanya nao kazi.

lakini blogger wengi hawafahamu sheria ya seebait, seebait wametuwezesha sisi kupata pesa ya vocha bila mlolongo na masharti mengi kama ilivyo katika mitandao mingine kama adsense, jambo ambalo wewe hulijui ni kuwa seebait wanalipa publisher wao wakipata campeni tu ila nje ya hapo hakuna malipo unayoyapata wakati hakuna kampeni japokuwa matangazo yao yanaonekana katika blog yako
ukiona katika blog yako inaonekana picha kama hiyo hapo juu katika code za matangazo ya seebait fahamu ya kuwa hapo hakuna malipo unayoingiza ila ikibadilika na kuwa kama hivi au mfano wa hapa chini 
basi hapo unahesabiwa mapato yao hivyo wakati wa kumuomba mungu usisahau kuwaombea na seebait wapate wadhamini ili na wewe unufaike.

jambo lingine usililijua ni kuwa seebait hawakulipi kutokana na watembeleaji wako hapana kama uliwaza hivi umekosea seebait wanalipa kutoka na user wako ili kujua user ni nini bonyeza hapa https://analytics.google.com/ wenda hayo ndio machache kati ya mengi ambayo ulikuwa huyafahamu kuhusu seebait

sasa kazi ni kwako umeshafahamu kama upo tayari kujiunga na bonyeza hapa

0 Comments

Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa