JE UNAHITAJI KUCOPY MAKALA YEYOTE KUTOKA BLOG HII? SOMA HAPA

As salaam aleikumndugu zangu kutokana na kila mmoja anakuwa na sheria zake kwaajili yake na watu wake binafsi nimeanzisha blog hii kwaajili ya kuwasaidia watu wa aina zote zaidi blogger's hasa wanaotumia lugha ya kiswahili lakini kwa masikitiko makubwa nimeona sheria zangu zikivunjwa wazi kabisa jambo ambalo likanatisha tamaa kuendelea kufanya mambo makubwa zaidi, nimeweka sheria kwa wale wanao kopi makala zangu hapa https://riyadibhai.blogspot.com/p/about.html nimeweka masharti rahisi sana katika sheria hiyo lakini watu wamekuwa wagumu kuelewa.

mpaka umeamua kukopi makala kutoka sehemu moja kupeleka kwako bila shaka umefahamu ni ugumu kiasi gani kuandaa makala mpaka ikiwa na msaada kwa watu wengine hivyo ili tusivunjane moyo katika kusaidiana naomba tujitahidi kufuata sheria za blog hii kwani sifanyi ili kupata pesa lakini nafanya hapa ili kuwasaidia watu wengine kama unahitaji kukopi makala kutoka katika blog hii soma hapa kabla ya kukopi https://riyadibhai.blogspot.com/p/about.html soma sheria za huduma zangu hapa https://riyadibhai.blogspot.com/p/terms-of-service.html soma sheria mama za mtandao huu hapa https://riyadibhai.blogspot.com/p/privacy-policy.html kama unamalalamiko soma hapa https://riyadibhai.blogspot.com/p/blog-page_29.html kama utakubaliana na sheria hizo basi wasiliana nami hapa https://riyadibhai.blogspot.com/p/contact.html

2 Comments

  1. Nahitaji kudownload template nyenye WhatsApp share nitaipataje

    ReplyDelete

Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa