Jinsi ya kuondoa iCloud kwenye simu za iPhone

Hivi unajua unaweza kuondoa icloud kwenye simu yako ya iphone ?

Nadhani kwa haraka haraka utasema hapana ila ni jambo linalowezekana kabisa yaani Unajua unaweza kuondoa iclouds na kuifanya simu yako iwe mpya kabisa ukawa unatumia bila shida yoyote. 



Zipo software nyingi za kuondoa icloud lakini sio zote ni salama kwako kwani upelekea kuharibu au kufungiwa kabisa simu yako.

Tumia software hii


PassFab activation unlocker ni software itakayokusaidia kuondoa Iclouds kwenye iphone yako haijalishi simu yako hiko locked kiasi gani kwani itaondoa lock bila shida yoyote ile.

Software hii inatambulika kihalali kabisa ikiwa umesahau password lock , iphone yako haiko activated, na kuondoa icloud kwenye kifaa chako.


Hii software inafanya kazi kuanzia ios ya 5s  mpaka phone x ambayo ina support Ios ya 12.3 pamoja na Ios 14.

Pakua hiyo program ya PassFab Activation unlocker Kwenye kompyuta Yako 


Bonyeza start kuanza Kazi hakikisha umechomeweka iphone Yako na Usb yake

Utaweza ku accept terms and conditions

Kisha itaweza kudownload jailbreak tool.


Ikimaliza itataka installation Kwenye simu yako


Ukimaliza rudi Back Sasa

Utaona details za kifaa chako iphone yako aina gani ???

Utabonyeza start
Ikimaliza simu Yako itawaka na icloud utaweza kuiondoa

Software hii unaweza kutumia free pia utaweza kulipia ili kuondoa lock  inauzwa kuanzia dollar 39.95 kama elfu tisini na mbili hivi za kitanzania.

katika wakati ujao tutazungumzia jinsi ya kuondoa icloud kupitia iTune ya Apple wenyewe hii ni bure kabisa haina haja ya kulipia hata 100




0 Comments

Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa