ili uweze kutumia simu yako kama modem kwanza hakikisha unakuwa na USB WIRE kisha fuata hatua hizi
Chomeka USB WIRE kwenye computer/laptop kisha chomeka na kwenye simu yako nenda kwenye setting ya simu yako
kisha bonyeza sehemu iliyoandikwa More...
Kisha bonyeza sehemu iliyoandikwa Tethering & portable hotspot
Kisha weka alama ya Tiki kwenye sehemu iliyoandikwa USB tethering kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu kisha utasubiri kwa sekunde kama tano hivi ili mashine yako ifanye mchakato wake.
mpaka hapo sasa furahia Internet yako bila kuwa na modem, niachie maoni yako hapo chini kama imekusaidia au kama haijakusaidia makala hii nikuelekeze zaidi. share makala hii kwa marafiki kadri uwezavyo
mpaka hapo
0 Comments
Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa