Siku nne za ushindi wa Hassan

Hassan Hassan (23), Mkazi wa Pugu, Dar es Salaam ni mshindi wa Shilingi Laki 5 kupitia MojaSpesho, ambaye amebainisha kuwa alianza kucheza siku nne zilizopita, na siku zote hizo alidaka ushindi.

“Siku ya kwanza nilishinda Elfu tano, Siku ya pili Elfu mbili, siku ya tatu Elfu moja na siku ya nne nkashinda laki tano.” amefafanua Hassan.

Hassan ameeleza kuwa, pesa aliyoshinda itamsaidia kusogeza mbele ujenzi wa nyumba yake aliouanza kabla ya kushinda.


Nawe pia unaweza kuwa mshindi kila siku na jackpot ya kila wiki. Jinsi ya kucheza Mojaspesho ni rahisi
1. Nenda kwenye menu yako ya #Mpesa, #TigoPesa, #AirtelMoney au #Halopesa;
2. Chagua lipia bili
3. Ingiza kampuni namba 123255
4. Ingiza kumbukumbu namba zako 3 za bahati zikifuatiwa na neno SEE mf. 123SEE
5. Weka kiasi kuanzia sh 1000 na utakua umecheza #Mojaspesho.

0 Comments

Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa