JIFUNZE KOMANDI MUHIMU ZA LINUX KWA KUTUMIA CHEAT SHEET

As salaam aleikum ndugu mfuatiliaji wa blog hii, Leo nimeamua kushare na nyinyi mkeka wa komandi za Linux ili iwe rahisi kudhibiti baadhi ya mienendo ya mfumo wako au kufanya baadhi ya kazi kwa wepesi zaidi kama wewe ni mtumiaji wa linux au ni System Admin.

Kama upo tayari kuwa msimamia mifumo ya kompyuta inayoendeshwa na mfumo endeshi wa Linux ni vizuri kujifunza komandi muhimu za kuendesha au kufanya mambo ya msingi kwa haraka. Hapa ni lazima uwe na mkeka mwepesi ulijaa komandi zote za msingi ili kufanya yote hayo, usisahau kuprint ili uwe nao karibu muda wote kwa sababu ni ngumu kidogo kukumbuka mkeka wote.

Unaweza ukapata mkeka huu katika mtindo wa pdf kwa kubonyeza hapa.

0 Comments

Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa