BLACKBERRY YARUDI UPYA NA SIMU ITAKAYOLETA USHINDANI MKUBWA

Ng'ombe hazeeki maini. Kampuni ya BlackBerry inatarajia kurudi tena sokoni kwa kuzindua Smartphone yake ya BlackBerry Keyone ambayo itakuwa na vitufe vya QWERTY na itatumia mfumo wezeshi (Operating System) ya Android v 7.1 Nougat, ikiwa na 8MP kamera ya mbele yenye flash, kamera ya nyuma yenye 12MP auto-focus large pixel pamoja na Fingerprint Sensor. 
Simu hii pia itakuwa na injini yenye RAM ya 3GB na internal memory ya 32 GB lakini itakuruhusu kuweka memory card yenye ukubwa wa hadi Terabyte 2

0 Comments

Je unamaoni kuhusu makala uliyoisoma dondosha maoni yako hapa